Twiga kupanda ndege…laki si pesa milion matumizi…bila bia mbili silali…maprofesa kuwaza ubunge badala ya taaluma zao kuliokoa taifa…madawa hospitali…escrow…Richmond…mishahala hewa .wastafu hawa… wanajilipa…mikwara…mingi…Ooh tunahitaji kiongozi mwadilifu…JPM…Najua watu hatuoni umuhimu wako ila kuna siku Miti itaongea…
Sikuzote wanadamu tunatabia wakujua umuhimu wa mtu pale tu anapo dondoka Chini
Magu lazima Watanzania wamkumbuke
Hahahahaaaaa
Tupeni break kwanza tuwaaalike na wenzetu wajiunge humu
Sauti ya mtu aliaye ugenini, umekuwa kama mtu asiyenakwao, mtu wa huzuni nyingi, kusema huwezi, machozi ya samaki yanakwenda na maji
Ukiwa kwenye kundi La wanaokula ni ngumu kuwakumbuka walio na njaa
Uadilifu wake upo wapi? Kuna lipi alilowahi kulifanya na taifa lisipate hasara (Bagamoyo ferry anyone)?
Huyo ni mkora kama wakora wenzake waliomtangulia
magufuli angefanya tanzania ipige hatua kubwa km angeondoa uwoga wa kukosolewa
sasa unajiuliza anafunga mitandao anaogopa nn
mh magufuli watumie wapinzani kama kioo cha kujitizama la sivyo hata km unania nzuri utashindwa
Of course tutamkumbuka, lakini mostly for his incompetence, cruelty and dictatorship. Kwani dunia iliwasahau lini Hitler, John Voster/Botha, Pinochet, Pol Pot etc? Si bado wanakumbukwa hadi leo? But are they remembered in the same way that Nelson Mandela/Oliver Tambo/Walter Sisulu etc?
Time will tell…
Cc: @Mahondaw
We miss you JK
Mimi simkatai magufuli wala kumkubari.
Ila angependa zaidi kuwapa watu uhuru wa kujieleza ila muda utaongea
Watanzania huwa wanakumbuka viongozi wao pale wanapokutana na hali inatomhitaji kiongozi husika. Jpm atakumbukwa mno
Im sorry jk
Hahah!!
Tushazoea maneno hayo! Amewaletea chuma hicho, na kinatema CHECHEEEEEE!
Aliwaambia mtanikumbuka