https://x.com/ntvkenya/status/1860893456501006671
Ile uizi jabass anapanga akijua mt kenya, jagathi na GenZ watamuonyesha nganga mbute haijaonekana before
https://x.com/ntvkenya/status/1860893456501006671
Ile uizi jabass anapanga akijua mt kenya, jagathi na GenZ watamuonyesha nganga mbute haijaonekana before
I think we should just impeach jambas. He is cornered and he is getting desperate and you know how dangerous cornered animals can get. Naona anaweza jaribu kuiba 2027 alete civil war
GenZ wamesema ajaribu waonane na yeye. Saa hii hasira ziko juu hakuna amendement kama hiyo inaweza pitishwa.
Wacha raila afail AUC mambo itachemka ground is so hostile murima I doubt he will ever gain a foothold again.
RUTO is worse than Moi
Hii mbwa inataka kukatalia Kwa kiti
Reason why nasema msee atolewe before 2027.
He is plugging what worked for them in 2017. Without live transmission 2017 would not have happened, and also without live transmission he wouldn’t be president today. Ile wembe alinyoa wengine nayo lazima imunyoa Hadi fudhi
Kikuyu na madoa doa yote ianze kutoroka kipmenos pale north rift
Jana nilikuwa baze ya njiva, kiasi kiasi siasa ikaanza, nikitegea njiva ziwe ready nifiksihie ma boyz. Walikuwa wamedai njiva na chicken niwaletee nkitoka job. Hapa area za job kuna mkamba huwa na njiva fine sana. Siasa zikashika kweli kweli, tena zaidi. Kila mtu anachukia hio takataka ya sugoi. Jamaa akauliza sasa nani atapigia hii mutu kura? Ataiba, ataibia nani? Hata campaign ataanzia wapi?
Nkajazika sana kumbe sio mimi nina chukia hio nyang’au. Nikajibu wakikuyu watampea kura. hapo kulikuwa na mujamaa wa kutoka central akasema “nani?” “hatuwezi, huyo mutu tumemchukia sana”. Nkajua baas, siasa iendelee. Hio mutu inachukiwa hadi na watoto.
Atakuwa na siku mrefu sana
The stinking mother fucker will try all means of rigging the erection