Okiya
April 13, 2019, 10:04am
1
Incoming MCA ameenda kuchukua huduma numba hapa kwa estate…Kufika hapo I was #8 kwa line. Hatuko watu wengi so I thought I would be done in a snap…waaah!!! It took the first guy 15 minutes to get registered na kupigwa picha. Wa pili it took almost the same time…Nilipiga hesabu yangu nikaona if that is the pace I will get registered kesho kutwa…Nimechukua cheki maneno yangu nikaamua nijipe shuguli. I’m not boarding this huduma namba thing…Uhuru apeane two days holiday tuchukue hii kitu or else asikuwe surprised if total Kenyans registered don’t reach 1 million
[ATTACH=full]233501[/ATTACH]
dabu
April 13, 2019, 10:07am
2
juzi nimeenda kununulia kijana cheki maneno pale thika main stage, jamaa aksema 14k, nikasema hio sina, akasema 12k, sina, 10k sina. As I was leaving, akaniuliza niko na ngapi.
Okiya
April 13, 2019, 10:10am
4
uwesmake:
Ghassia we don’t care
Bado we hucheza FIFA kwa PS1?
Ndio nacheza nintendo Gameboy hata si PS1
Okiya
April 13, 2019, 10:21am
6
2016 yote hatukuwa tunapumua hapa ktalk. Kila weekend ilikuwa picha ya pad ya PS1
Barabara ni cabro juu chini, footpaths na pedestrian walks ni sawa, cheki maneno poa.
Watu wa Kayole kama ile Bukusu ya Herpes pambaneni na hali yenu…
Barabara ni cabro juu chini, footpaths na pedestrian walks ni sawa, cheki maneno poa.
Watu wa Kayole kama ile Bukusu ya Herpes pambaneni na hali yenu…
:DMzae bado unaweza balance Kwa black mamba ?
Ubongo
April 13, 2019, 10:47am
9
Matiangi said over 5 million registered
Shaka
April 13, 2019, 10:48am
10
Okiya:
Incoming MCA ameenda kuchukua huduma numba hapa kwa estate…Kufika hapo I was #8 kwa line. Hatuko watu wengi so I thought I would be done in a snap…waaah!!! It took the first guy 15 minutes to get registered na kupigwa picha. Wa pili it took almost the same time…Nilipiga hesabu yangu nikaona if that is the pace I will get registered kesho kutwa…Nimechukua cheki maneno yangu nikaamua nijipe shuguli. I’m not boarding this huduma namba thing…Uhuru apeane two days holiday tuchukue hii kitu or else asikuwe surprised if total Kenyans registered don’t reach 1 million
[ATTACH=full]233501[/ATTACH]
They are lying that so far 5m people have registered
Wajua serikali huwa inajiichocha.
That’s roughly 17,000 people per constituency
system
April 13, 2019, 12:28pm
14
dabu:
juzi nimeenda kununulia kijana cheki maneno pale thika main stage, jamaa aksema 14k, nikasema hio sina, akasema 12k, sina, 10k sina. As I was leaving, akaniuliza niko na ngapi.
Huwezi pata baiskeli ya maana mpya on the cheap
Hii namba ni ya shetani hatuchukui!
Okiya:
Incoming MCA ameenda kuchukua huduma numba hapa kwa estate…Kufika hapo I was #8 kwa line. Hatuko watu wengi so I thought I would be done in a snap…waaah!!! It took the first guy 15 minutes to get registered na kupigwa picha. Wa pili it took almost the same time…Nilipiga hesabu yangu nikaona if that is the pace I will get registered kesho kutwa…Nimechukua cheki maneno yangu nikaamua nijipe shuguli. I’m not boarding this huduma namba thing…Uhuru apeane two days holiday tuchukue hii kitu or else asikuwe surprised if total Kenyans registered don’t reach 1 million
[ATTACH=full]233501[/ATTACH]
Naona unajali maslahi ya mazingira na ya future voters. Hautaki gari iwatolee vumbi wakunyime kura 2022.
Hehe huyo jamaa hana shii my fren @mtongwe
Uongo mtupu. Serikali itafanya anything possible ndo mu apply huduma namba including lying.
dabu
April 13, 2019, 4:06pm
19
Si mupia, if you know Thika main stage, you must know the guy who sells 4th hand cheki maneno.