Habari !mwenye uelewa wa jinsi ya kudecrypt hizi free site.nawasilisha
[ATTACH=full]176008[/ATTACH]
This troll is getting mundane
Pole mkuu, sitarudia tena kuiweka, hata nitaifuta kutoka kwenye kumbukumbu. Samahani tena mkuu kwa hitilafu hio…
Mbona hamnipi msaada wakuu?
Hizi free sites ndizo zipi, na mbona zahitaji kuwa decrypted? Ukianzia hapo labda utapokea msaada…
Hali ya sasa sio kama zamani freesite za sasa ngumu kupenya
Vipi kihusu
Vp kuhusu ICMP
IT personnels wengi tumewaacha JF, ingekuwa kule unafukua tu nyuzi unapata
Swali lako halieleweki, elezea unachohitaji tukusaidie