Next time nitaiwahi… Nakila talker atalewa hadi kesho yake morning either wewe ni grants ama maziwa…kulewa utalewa[ATTACH=full]33067[/ATTACH]
very close, the highest nimewai pata ni sita
Hata Mimi nikiwin utalewa hadi ukojoe fobe… Meanwhile… Tuendelee Na hizi ndoto…
hehe me nishawahi fika kumi ile ya 36m 10teams nkaget 10k pekee cz mafala waliowin ni wengi 36 ilikuliwa ni wasee wanne
Hata ulijaribu. The most nishawai fika Ni 9. Ever since hata tatu Jo…
Too many draws
The last team pia nimeiwahi 9 of 13…[ATTACH=full]33075[/ATTACH]
10/13 si iko na reward?
hakuna kitu ngumu kama kupredict draw. Lakini kwako inakaa ni kipawa
hiyo nilipewa 10gs kitambo na raico nikalima ka mkulima wa miwa mule kisii…
Lucky fellaz yangu haipitangi tatu
1 Like
hapo ulijaribu kaka