Jmn mwenye link ya kupata app
Ya huu mtandao anisaidie
Maana huko ndo kumbilio
Letu Sasa Jf yetu OG cjui
Itarud lin
Jmn mwenye link ya kupata app
Ya huu mtandao anisaidie
Maana huko ndo kumbilio
Letu Sasa Jf yetu OG cjui
Itarud lin
Tumia web tu mkuu, huku mambo ya app hawayajui…
my beby umekujaaa…nilikumiss hatar
Yaan tunaona uvivu hata kuingia sababu hakuna app waweke app jamani
Wameshakwambia ni kijijini huku hivyo mambo ya Apps bado hayajafika.
Duh even you upo huku!!
Nipo mm mbona umeshangaa kuniona
Naona hauna
App kijijini sidhani
aiseeeee
Ngoja wengine tuwe wapenzi waku-like tuu huku…
Hahhaha shoga angu nimeona likes zako nacheka mwenyewe yaan kunatia uvivu huku
Watuwekee app basii jomonii…
Hawajui tu tunavyopata shida watuchangishe hata michango basi
Hahahahahaa bora nikalewe tuu…unawajua unawaskia??hihihihiii
Hahahah kwenye kutuchangisha ni kwamba watatutapeli au vipi
app muhimu @Shunie
Unazinguaa…mm thijathema hivo mm
Binamu jamani kumbe umekuja
Mfyuuu kwahiyo ulimaamishaje eti