Hii 8/8 ifike haraka

…ndio hii kelele ya campaigns ituondokee. One of the rare Saturdays I didn’t have to wake up until 11 lakini hizi nagari zinapita every five minutes it’s maddening…

Ukiishi leafy surburbs life is a breeze hatutambui such monsense

Where I am they started two days ago. Six asubuhi washaanza.

kwani unaishi marigui-ini

Pole sana…where I am naskia tu mother nature’s noises. Once in awhile we get those noisy campaign vans disrupting our ecosystem.

Yes. Iko shida?

Hamia 7th floor kama mkamba @vuja de kelele haifikangi huko

Naishi muthaiga ya Nyeri shida ni kwamba majirani zangu wenye wanataka Viti wamefanya maboma campaign HQs so ma-campaigner wakikujia instructions for the day na wakienda missions wanapitapita speakers zikiwa top volume.

Crested francolins and a few white-browed sparrow weavers are my alarms… Peace

Add this to the list of my frustrations. Pahali niko saa hii one MCA seat has 56 aspirants. :(:eek::rolleyes: Cars have been passing by playing those tu funny sapere music, from morning to evening. Not to mention those guys coming door to door…

Ningekuwa jirani yako hizo ngware zinakuwa extinct in a very short time…

Hehe ungezikula?

He he, hakuna nyama tamu kama ya ngware.

Unauliza pole pole.
Mbona unafikiria mwalim huitwa gashui ???

:D:D:D:D:D

Kuna afande flani wa kws anakuanga as old as time, if you @Meria Mata at his birds, you’ll become enemy no1 on his ‘terror’ watchlist

Is all about cooking,hakuna nyama sio tamu same thing with COOMER depends with the cooks aroma.

:D:D:D:D:D
Isorait!

One of our trucks on campaign duty got a breakdown Jana and after fixing i had to endure the racket all afternoon, uzuri niliosha macho ikangara Kabisa, the 001 queens wako moto sana na madeira zao

The fools had covered the front of the truck with a banner cutting down the air intake to 30% forcing the truck to shut down to prevent damage to the compressor, had to stick around to make sure they don’t do it again