Heshima na Privacy ziko wapi?

Sasa, ukinunua nguo kwa the so-called bolo bespoke, huwa umempatia rights za kutumia image yako kumarket biz yake, ama huwa kunaenda aje?

1 Like

Umetoa wapi hii allegations?

1 Like

Ametumia picha zako elder tunukishe kitunguu, mimi kama lawyer na elders kama eye witnesses

1 Like

unajaribu kusema umenunua suti kwa bolo?

2 Likes

Wewe vaa nguo unatusumbua.

2 Likes

Niko na suit ya 2500 ya mtush na inakaa hizo tu za Mboro Mbispok