Hii advert hunimaliza kweli.Asante kwa kuwakumbusha hawa mafisi.
mshahara ya 30k… and a phone worth 50k? what if she saved for a year to buy the phone? likewise mtu anaeza kuwa na gari ya 1.5m but mshahara wake ni 100k
I doubt it judging na zile machakula huwa unakula
Nyinyi ni wale huamini kuwa na pesa ni ku nona