Hesabu kidogo

Najua hesabu ni ngumu lakini ni Sadie hapa kidogo kuna dem nakatia mshahara yake 30,000 lakini simu ile ako nayo ni S6 bei ni 50,000 kwenda Juu. Hii Hesabu inaingiana?

[ATTACH=full]92772[/ATTACH]

kwani Kihii wewe huwa husave pesa ya muhindi?

30,0000…kuuliza tu io ni how much@kihii kiaganu nijibu priss

Hesabu ndiyo ngumu

ukilipwa per day utasave 10 Bop pekee

Leo Hakuna breakfast

Wewe hutomboi Nairobi !

Si inawezekana, mnigga karibu nibuy Xiaomi ya 90k but nkaona ni ukumbafu kukua na phone ya 90k na bado sijajenga nyumba

Kwani nyumba ni 90K?

Nope, but hiyo 90k inaeza saidia mahali pakubwa kwa ujenzi, or let’s put it this way, ni kama unadunga cladi mitumba na kutembea na phone ya 90k

Wacha uzembe, Hio sio Calculus, fanya hio hesabu na utalilia chooni

https://www.youtube.com/watch?v=Wy6382POTVM

90k inabuy kama 140 bags of cement, hiyo inatosha kusimamisha pigsty kutoka foundation hadi slab level

Sponsor manenos.
Labda kuna kamzee age ya Gashui kanashindaga juu yake kakimwaga mate na saa hiyo unadhani ako job.

He he,
enyewe hesabu ni ngumu bw uwesmake…

Wewe ni wale wa “siwezi nunua gari kama bado nalipa rent?”

Sigwes nunua gari kama bado nalipa rent

slightly used s6 hapa nairobi cbd ni 20k… with recepts

unaweza pata “liberated” s6 na les than 15k