Vile naona, watu kwa anonymous forums huwa na mashida mob tu sana. Ukiwa kwa social media, kila mtu anakuwanga na pesa, kila manzi ni msawa na jamaa wote ni mabingwa na kujichocha.
In reality, life iko hivi hivi. Angalia hapa mtu ana-post Gilbeys na bravado na hapa kwa nyumba nina 30 year old limited edition whisky…[ATTACH=full]18901[/ATTACH]