Hasla ameambia mahasora that investing in 50x100 plots is upus, that they should take their money/savings to NSSF

Habari ndiyo hio. Eti mpeleke pesa yenu yote NSSF.

I think in my entire employment period I saved about 26k kwa NSSF.
Ingekuwa kitu 28k lakini kuna muhindi aligula ya mwaka mmoja Wadau.
Without comprehensive reforms at the NSSF I would rather enjoy that money on a few balozis and a kamushishana while I still can.

The obsession this man has with NSSF is suspicious.

Ati kamushishana…engine yako bado inaguruma kweli?

Nawesa fikisha threshold ya kijiji ya wazee Mdau.

Since when does one get rich by savinghe should lead by example auze shamba zake aweke pesa nssf
There was a time a 50x100 plot in syokimau was 30k … middle of nowhere unapelekwa unasema hell no
I would rather invest in that land