Nimecome na kuni;) …tuwashe moto pande gani ?? ndio tusichome kijiji ::hii baridi imezidi :mad:[ATTACH=full]11514[/ATTACH]
Ni asubuhi boss, unawasha moto ya nini?
Its cold guys…
@admin hajaamka bado. Anapokea morning glory.
moto itasaidia sana Chief, lakini inastahili serikali ichunguze kiini cha hii baridi
This is the season ya wazee kutuacha so chief luwere luwere…
That’s the ansa right there, @admin anamkamua @Unicorn
anaeza kuwa pia anakamuliwa na @Atwoli
I tend to differ, “Its a baby making weather”
@Unicorn, can you kindly clarify, Admin ako kwako ama ni wewe uko kwake?
Kwani unaishi limuru?
Karibu na huko
@Chiefkiumbe kula ugali moto na kahawa moto, kuni haziwezi saidia
Tafuta hoteli boss ukunywe chai Na kikombe ya fifteen
Si hao wazee ndio wanadedi wanareincarnate as babies, ama?
@admin MIA, @Female Perspective MIA. Naona baridi ikitolewa na style
It’s very cold!!! Aki jay Uko?
Admin na unicorn…kutupiga mistari ndio zao
tulikuwa lodging.
Wewe utapigwa mutree hutapigwa mstari