Chibu alienda kwa heshima ya mshikaji wake.
Ya Ngoswe haya
Behind the enemy line
Umeona eenh
Jamani ndugu zangu wabongo, Ruge hakujitakia kuumwa mtihani wa kiafya unaweza kumpata yoyote kati yetu! Msimhukumu kwa sababu anaumwa huu ni wakati mwema wakumuombea kwa MOLA amrudishie afya yake,it is very weird to judge a person who is in a hospital bed fighting for his life! Kama kuna lolote juu yake msubirini arudi kwenye afya yake ndio muendeleze hayo malumbano ambapo nae atakuwa na nafasi ya kujibu
Nilifikiri URUSI kwenye WC
Not behind it is inside enemy territory!