Gerson Msigwa naye kimyaaa au ndiyo mambo ya TCRA?

[MEDIA=twitter]1007878207188688899[/MEDIA]

[MEDIA=twitter]1008099644356939778[/MEDIA]

Sisi kama kawa tunapost tuu video huku.Haaaahaaaa full raha.

inawezekana mkuu hahahaha

Walifikiria wanatubana sisi kumbe wanajibana hadi wao.
No one is above the law

Atapostia wapi?

Maana jf haipo.

Labda hajui kama tuko huku, mshitueni

Itakua

Karma!

Msigwa ni ndege aliebaki tunduni wengine wameshatoka tunduni
In Juma Nature voice.

Senge senge tu

Makanusho ni lazima yawepo… ila ukijaribu unapotea kimya kimya…

Cc: @Mahondaw

Kwa thread hii unaweza kufanyika uteuzi leo ili apost kuwa prove wrong kuwa yuko hewani, awamu ya mapichapicha hii

Ila huyu jamaa niliishamsikiliza mahali fulani kama mara mbili hivi, maelezo yake yana utata sana kwenye hili la usajili wa TCRA!