Fact News: The President of Tanzania handed over the Uhuru Torch to JWT to raise again to Mount Kilimanjaro

**Kila mwaka Kuanzia Mwezi April mpaka October mwenge unazungushwa nchini kote. Mikoa 31 na halmashauri 195.

TPDF wamekabidhiwa Mwenge na Bendera ya Tanzania kupandisha Mlima kilimanjaro.

Tunapandisha tena kuelekea Ukombozi wa Kiuchumi

A nation without its faith is a dead nation

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Balozi Pindi Chana (Mb) tayari amewasili katika Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro tayari kwa tukio la kupandisha mwenge wa Uhuru katika Kilele cha Mlima Kilimanjaro, Zoezi ambalo linafanywa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)



Tunafanya vitu kwa vitendo

image

Agree or disagree, This is our Torch of Freedom.

Unaweza kuwa wewe ni Muafrika usiamini katika Pan-Africanism. Lakini sisi tunaishi kwa vitendo. Hunabudi kuakubaliana na imani yetu.

Tanzania ni nchi yetu tutailinda kwa namna yoyote

Mwenge umefika Arusha na kupokelewa na Mkuu wa mkoa

Mwenge huu hautakiwi kuzima mpaka upande juu ya kilele cha Mlima Kilimanjaro ili uyaangaze mataifa yote

Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mary Maganga akipokea mwenge wa uhuru wakati wa zoezi la makabidhiano ya mwenge wa uhuru lililofanyika leo Oktoba 14, 2024 Uwanja wa CCM Kirumba, Jijini Mwanza.

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Zuhura Yunus akipokea mwenge wa uhuru wakati wa zoezi la makabidhiano ya mwenge wa uhuru lililofanyika leo Oktoba 14, 2024 Uwanja wa CCM Kirumba, Jijini Mwanza

Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Ridhiwani Kikwete (Mb) ambae ni Mgeni rasmi katika tukio la kupandisha Mwenge wa Uhuru katika kilele cha Mlima Kilimanjaro tayari amewasili katika Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro na kulakiwa na mwenyeji wake Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Balozi Pindi Chana (Mb).


Blah blah. How Communism made Tanzanian bonobos lazy is beyond my comprehension. Imagine all the state machinery to enforce anything but you just leave bonobos to their own devices. Kazi ni kusifu lies mtukufu and no work.

1 Like

huyu communist anatangaza nini?

1 Like

Tanzania is a socialist State not a Comminist

Tunaendelea kufuatilia upandishwaji wa mwenge Mlimani Kilimanjaro

Tunaupeleka mwenge juu ya mlima Kilimanjaro ili uwamulike wote.

Tumeamua na tunafanya. Tanzania unforgetable

Tunawaambia mataifa yote sisi tupo imara. Na tupo tayari