vuja_de
21
Big_G
22
wacha tueni the results of training in a car park:rolleyes:
Jirani
23
Arrrrrrrrgh si Leicester wafunge hizi burugenge already!!!
WuTang
25
Hawa Leicester wanakaa kutoboka mabao sana.
Jirani
26
Hata haijapita 10mins after u wrote this na washapewa ya pili.
Leo hatutapumua huku sanasana Chelsea wakituchapa
Update ya tatu sasa
1 Like
Jirani
27
3-0 UMBWA NYINYI LEICESTER
Big_G
28
chesos hawa leicester wanakamuliwa hkm
Jirani
29
POGBA scores…
Confirmed leo hatutapumua
4-0
system
30
Yes, those were the days. We used to watch it on KBC Tv.
Jirani
31
Leicester wametoa Vardy and Mahrez . nini mbaya na huyu coach?
vuja_de
32
better to rest them for the next game. Hii game imeisha
Jirani
33
Ndio nimeskia commentators wakisema wana restiwa for champions league game ya tuesday
xuma
34
Kubaya kubaya!Kuboronga kuboronga!
xuma
35
Hata miye nilikuwa nafuatilia FA wakati huo nikiwa shule ya msingi lakini nilianza kuishabikia Chelsea mwaka wa 1999 hivi.
Jirani
36
Everton na Man city watachoma bets zangu wakubwa. Nli bet Win after 90
Wewe, wacha upeasant kwa football. Barca Walishinda Sampdoria 1 - 0 Finals Champions league1994 wakiwa na Pep Guardiola kwa mid field!
Hata Blackburn walishinda EPL in 1995. That doesnt mean they were a force to reckon with in the 90s
WuTang
39
2 nil up for gunners. Lakini game ni 90.
1 Like
Jirani
40
Ndio maana siongei or celebrating
1 Like