EFFECTS ZA NDOA ZA UJANANI

Check hii ni fupi boss na inastory nzuri sana

Nashkuru boss kwa ushauri wako, ntaufanyia kazi

Nashkuru sana boss kwa ushauri wako, ntaufanyia kazi…

Haina shida mkuu ngoja nije kushow love

Pamoja sana mkuu share na kwa wana pia

Kama ni hivyo basi watengeneze vitu ambavyo vitavutia watazamaji kuliko na kuhangaika kulazimisha tukaangalie

Nichome bando langu halafu mtu akalipwe hela…

Parasitism hii ni ya kuepuka sana

Ndio ndio japo wanatumia akili nyingi sana kukushawishi

Tangu kule JF, hizi link za utube nilikuwa siaangalii hata kidogo isipukuwa habari ambazo hazina mrengo wa kutafuta viewers

Nishajua unapenda kuangalia mambo gani:p:D:p

:p:p:p:p:p
Ebu funguka mkuu

Aaah!! Mkuu itakua sio busara

C toi kiki

Duuh! Kumbe ile tabia yako unayo hadi huku rafiki. Hebu fanya fanya udownload basi rafiki kisha uje kunihadithia.

Au ukishindwa nimuite @Sesten Zakazaka aje atuhadithie hiyo video inasemaje. Sababu sisi bando Mzozo. Hahahahaaaaa.

Hahahaaa. Hatariii.

Umeonaeee. Basi uko ka mie huwa najikuta naudhika tu.

Wawe wanatuhadithia tu

Wanatafuta viewers hivyo

Kwa mbinu hiyo watasubiri sana

Hahah!! Bora umuite tu huyo kiongozi aangalie alafu atatuhadisia maana mmh!!!

Hahah!!

Hahahaaa. Umeonaeeee.

Hahahaaa. Sawa ngoja aje halafu atuhadithie inahusu nini hiyo video.

CC. @Sesten Zakazaka.