Divorce expert advice needed

Ala hata wewe uliamua ni wgtow

…close friends but strangers at the same time. Kuna time thanks to kuvalia mask huwa natembea Tao najipata nacheka nikikumbuka upuss ya hii kijiji.

Hiyo nitaongea after proceedings lest I incriminate myself

Hii chapter ya hekaya labda nianze maneno ya pseudo, lest nifuatwe na CID

Pilipili usioila … hizo feelings umeokota SJ rudisha huko, :D:D:D:D

“Fam” tena? Hapa ni elders, wanakijiji, or Talkers

Join @chap kwa bench

Hehehe, kumbe wewe ndio Wamum Goldie wa Klost… miaka imesonga kweli:D:D:D.
[ATTACH=full]370850[/ATTACH]

Wgtow hehe…I’m not into labels but I can’t complain.
That aside, I would never wish an annulment on anyone. If the OP is your friend /fam afadhali tu mmwambie arudi nyumbani.

A

Ama ghaseer

No :oops:
I thought wakanyaks made a typo.
I was never in klost, (must have been in existence in the years I was happily married :D) never even heard of it until 2017.

Mutheu apa umetupanga

I swear on all I hold Holy and my forefathers. Nyinyi watu huwa mnaniekelea handles sio zangu. Most of the times I had to ask MM and others to fill me in on the klist backstory.

:D:D:D

You’re Unhappily married now? Or thingle kama thumb yangu?

Ata wewe unaita bwanako daddy! Baba mzee hivyo wachanga kuniangusha!

chief leta kienyeji pics

We have a Resident Divorce Expert by name @TrumanCapote.

Unataka nimuite aje?:D. Yeye ni daddy wetu…atuletee mkate.

@uwesmake mambo vipi! Siku nyingi haujaonekana area kwani uliwezwa na momo? Kienyeji Niko nayo laba mapaja za @Finest wine