[ATTACH=full]176419[/ATTACH]
Naona insta wameuandama, hivi alisemaga atafanya show ya uzinduzi world cup?
Nilisikia hii kitu,sijui imeishia wapi…!
Haaaaaahaaaaa
Hivi alikuwepo siku ya ufunguzi?
Aisee! Mnakomaa naye
Nalog off
i see kuna watu mnachuki nomaa
Hata kama hamumpendi ndio basi tena maji mmeshayaogea!
Na ndiyo Putin keshampa tuzo, wenye wivu wajinyonge
watanzania mko tu nyuma,kumanna zenu.
watanzania mko tu nyuma,kumanna zenu.
Wewe tukana tu ila mwenzenu ndiyo amesha tumbuiza na amesha beba tuzo kutoka kwa Putin.
Alitumbuiza kwenye vyumba vya wachezaji
Hahahah!!!
:D:D
hiyo kubeba tuzo inafaa ikuekee chakula juu ya meza ama?
jitume mshenzi,endelea kushangaa ya wenzio uone kama hata bibi hatutakumegea…punda milia.
nini sasa kinakuchekesha wewe??
Puttin akitoa tuzo
Wewe tena usivyompenda
Kwani ningempenda ndio ningesema alitumbuiza kiwanjani?
Ndio mzee wa sumaku ungeongeza ongeza tu nyama