Kwa mara nyingine tena boss wa wasafi azua gumzo baada ya kutoa hadi kubwa ya kuwapeleka marekani kula bata wanae wanaoishi sauzi,tiffa na nillan.
Baadhi ya mashabiki wamelalamikie kitendo hicho cha dai kuwapa kipaumbele princess na prince,huku akimsahau mtoto wa tununu[ATTACH=full]176584[/ATTACH]