Kumbe mambo ni hivi ila bora japo cha moto atakipata
sancho tumia mwili wako mama hakuna anaekuzuiaa ukumbuke kinga
Wanamsingizia
Si utakuta yeye mwenyewe kasambaza ili aonekane matawi ya juu
Inawezekana pia, au watu wameitengeneza ili kumprove kwamba ni escorter.
Yote yawezekana laki ndio biashara zao hao hata kina zari nikikutwa na Numbisa ntamkoma kumtaja zari
sio mbaya, ana vitega uchumi viwili, mwache avitumie vyema
Hivi jf kuna watu wanachart?mbona napata notification jamani
Hongera zake wengine wanakulwa bure
Bora heraaa
bora hata analipwa maana kuna wengine wana escot bila malipo
Mwanza wazima?
Kazi kazi
Ubaya wazee wa Dubai wanakula kisamvu wale masheikh.
Ukizingatia mfungo ndio umeisha, lazima aliwe jicho.
Dubai hawana lingine zaidi ya hilo, Waarabu si unawajua kwa hayo mambo
Bongo Only.
Na wao mazwazwa tu, dola 5000 zote unanunua nini?
mzimu wa jiwe kazini…
Wengi tu wanajiuza.Ila huyo anajiamini.
Hmm!..