Dawa ya mende,kunguni

Ni kama hau watu huuza hizo madawa wamefanya ile kitu.
Mende wamekuwa wengi saidi…
Then mchana hao wauzaji wanashida maraondiii waki shout dawa ya mende kunguni na panya…
Wasimwage makunguni walai…no wonder estate management ina push for fumigation

Ruto anahitaji dawa ya Mede

Greenleaf ya sikuizi ni fake, I’ve noticed that too

Wewe na hizo mende mnafaa fumigation, scums of the earth

Tusiwai patana

dawa origi ya mende ni baking kwa diced onions. the fuckers can’t survive yeast it explodes their stomachs open, then unaseal chini ya mlango mende zisitoke kwa majirani kuingia kwako

stress free

Dawa ni usafi,anzia hapo.

Mende ni protein swafi

Ni wale wanaume unafyeka wanakuletea kunguni

Ngiite…mmoja wao alikuwa baba yako…

Hio ndio matokeo ya kujitoza kwenye kinyesi badala ya kinembe

Do you mean baking soda,tafadhali na sio u lazy ya ku google…diced onion inakaa aje

Baking powder ama baking soda?

Ya kupika mandaz

very fucking effective

baking powder ya mandaas. mix with onion sliced into small pieces

Munaishi wapi na aje?

You know you’re living in a low income neighborhood when you hear “dawa ya mende, kunguni na panya kwa nyumba yako” on loud speakers.

Watakuja kwenu wazamwage ndio utajua sio about neighbourhood.
Juzi tu pale Rukuna wajinga kutoka KARLO walikuja wakawachilia mosquitoes they had formed through interbreeding…si watu wamekulwa,mosquito net biz imeshika

I am inclined to believe you hata kama hauna a proper degree. My forebearers at MI6 did worse against the Kikuyus. Walirusha biologic bombs in form of jiggers banae. Shiny eyes bado wanakipata mpaka wa leo.