Hizi ghaseer zinatumia kila kitu vibaya[ATTACH=full]415549[/ATTACH]
@Mwikalilet = @PHARMACY
@LIEN @uwesmeffi
takataka za mtu wa turedio:D
@Electronics4u wewe ni meffi
@Gaza is heartbroken
Utumizi mbaya wa mamlaka..
Niaje jamaa wa mjengo?
Ulikua unafikiria ni bwanako uwesmakende ?pole ghaseeer
Ghasiaa inategea Mia mbili na inakalia pesa. My quick rustler assessment tells me kuna kaa 400k hapo.
Ng’ombe ndume inachezea mangapi kaka?
Government licensed terrorist. Anyway Animals Rights need to come in. Baada ya kukula hongo kinakalia ngobe
:D:D:D:D na ngombe imechoka banae
:D:D:D:D na ngombe imechoka banae
Ng’ombe imekalia Ng’ombe
Really depends on the body weight. Either live or carcass.
A living one
80k for mature fattened bulls
Eh! Na venye huwa nimedharau ng’ombe za wamasai kwa barabara zikileta jam
Hao jamaa ni birrioneas but kiangazi ikiingia wanaumia
Hehe umenikumbusha story ya wakikuyu wengine venye they made mbirrions. Walifika huko umasaini wakanunua ng’ombe, na mbuzi kwa bei ya kutupa, ilikuwa wakati wa kiangazi. Walishika mifugo lorry kadha. Wangewawacha wangekufa njaa. Wakarudi wakawalisha wakanona wa kawauza kwa bei mzuri. Enyewe to become a mbirrionaire you don’t need a degree in business management.
True dat