CORD This is Not Fair Bana..........

So you are there to lighten the day na weupe? Hehe.

uwesmake uko Na birificase

1 Like

NOTISI

Mimi kwisha aki! Wacha nijifanye naenda choo Serena nikitoe…hi brown skin yangu will have me killed. Lakini mtu akinisalimia najibu ‘Salaam aleikhum’. Mimi sasa najifanya Mohammed Adhumani kutoka Malindi…

3 Likes

WAZUNGU MUST GOOO

IN THE HEARTS OF HEARTS OF THE AFRICAN PEOPLE KENYATTA MUST BE RELEASED

UHURU NA KENYATTA

baba ametoa wimbo mupyaaaa

2 Likes

KITU KIMOJA

TULI ALIKWA

ALITUALIKA KAMA IMECHELEWA

OSWAHILI DLLLL

2 Likes

MCA mtalanjiwa …cord

1 Like

So far speech ni murwa kabisa. Lakini naona kama mambo itandigenerate as I walk away…

TEARGAS TANI MILIONI MOJA HAITUTISHI

1 Like

AI I BI SEE

UHURU NA RUTO YAKEEEE :D:D:D:D:D:D:D:D:D

1 Like

UKIZaaA MTOTO MWISI SIKU SEMA AISENDE JELA

hizi ni points za baba

2 Likes

sivyoooo sivyooooo

WABUNGE TANO

JUMAAAA TATTTTU JUMA TATTTUU

MUKO TIYARI

NIPIGWE TEKE SITA RUDIIII NYUMAAA NIPIGWE PINGO , NIWEKWEE JELA , NIPIGWE TEAR GAS .

enyewe some Kenyans’ level of stupidity is out of this world…watu wanachochwa na babu na teargas ikirushwa anatolewa spidi na walinzi wake

2 Likes