Climax - Tripple axle Threshold

Trucks aside, hii ni MAN TGX D25 double teriou 16 speed automatic transmission wire ya umeme
[ATTACH=full]254456[/ATTACH]

if I remember my Geography, ADDITIONAL AXLE are to mitigate weight… Max 70 passengers should at most be 7 Tonnes .This is cosmetic

geography au mazematics

For passenger vehicles it’s also about comfort

It’s such a long time… can’t distinguish the difference

oh ok.

Yaani nyinyi wore mumemeza uongo hook line and sinker? Hamuoni ni photoshop(hint: the stones)

hehe, shhhhhh
and its not stones ni plastic bottles

ya kukimbia wapi?

Pita A104, utaona impunity ya hizo ghasia

Karibu niulize kama Kush leo anasafiri na basi lakini wacheni tu :smiley:

Elder Chiethsman, in the 50s, kama ungekubali kurudi shule after lunch, you wouldn’t have missed the lesson where the correct spelling of Triple was taught.
[ATTACH=full]254462[/ATTACH]

Physics

should be 3 Ps btw

A109 Official speed ya bus ni 110 km/h. Kama si heshima kutoka kwa truckers kungekua accident mingi sana. Drivers wa bus hu overtake vibaya, wakikimbilia chakula free mtito andei

ii ilikua pale Jamii Forums 2017, Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii even my half blind grandma would tell ni photoshop…