Banditry

Wazungu wamechukua mashamba zote wanalisha maelfu ya Ng’ombe na Rhino kumi za kudanganya wakenya eti ni wildlife conservancy.

Mimi sijaona conservacy yoyote kerio valley. unasema nini

Wapi evidence

mama ya @PHARMACY ni malaya

Hii kitu ili cause vita 2021, wazungu wameenda kwa ofisi za lands wakahonga watu huko wakapewa Pastoral land.

This land should be taken by force

Wacha waziweke. 70% of Kenya is unoccupied. That occupied 30% is severely underutilized. Bado tuko era za kutembesha ngombe ka hunters and gatherers. Yet a borehole can be dug anywhere in this Kenya and will yield a copious amount of water.

So tupatie mzungu zile pasture land zetu mzuri alishe ngombe lakini sisi tukilisha tunaitwa bandits?

Piga kelele tu hapa chifo lakini juwa nakuomia izo ngombe zako uko Laikipia. Ngojea tu operation iishe. Utatii …

:D:D @PHARMACY hii ni handle ya nani?

Mzungu maintained his pasture since 1900s. Sisi tulisubdivide into 1/8th na kuuza na kunywa pombe na proceeds. Mbona tusirushie hao wazungu offer na tununue hizo za green.

Correct, many French and British citizens own huge pieces of land in northern Kenya

Nikona 10 hectares huko garbatula

You have to deal with BATUK .The British Ministry of Defense.
The sun never set: British army’s secret payments to colonial-era farms

The court case shines a rare light on places like Lolldaiga, which is one of EIGHT estates the MOD (British Ministry of Defense) pays a secret and “commercially sensitive” sum of money for its troops to train on.

Many of these ranches were established in colonial times, when European settlers took over some of Kenya’s most fertile land around Laikipia County. This area in north central Kenya became dubbed ‘the White Highlands’.

Pastoralists and other indigenous communities who occupied Laikipia before colonisation, especially the Maasai, were relegated to the driest part of Laikipia or reserves in southern Kenya.

In the 1950s, an uprising by the Kikuyu Land and Freedom Army (“Mau Mau”) was brutally suppressed by British troops. Pastoralists did not recover their land with the end of colonial rule in 1963. Instead, Kenya’s First President encouraged white settlers to remain after independence.

The Eight
(Land set aside for UK troops to train)
Lolldiaga: 20,000 hectares
Ole naishu : 12,000 hectares
Mpala : 4,000 hectares
Suiyan : 2,000 hectares
Ol Maisor : 12,000 hectares
Sosian : 5,000 hectares
Ol Doinyo Lemboro: 7,000 hectares
Chololo : 6,000 hectares

The ‘owners’ of those ranches rent part of their large swathes of land to Brits (paid for by the British taxpayer) for UK troops to train for wars like Iraq and Afghanistan … They always start huge fires,explosions ,kill Kenyans etc

Kenyans huangalia vitu ready made. Ukitembea Kenya vizuri utaona tu it is Nairobi that is densely populated. Other counties nikama hakuna watu