Wanakijiji nawakumbusha @Miss natafuta bado hajampata anaye mtafuta saa hii nimekutana naye maeneo ya nyeri anasaka @Nyang’au1 wa kumbadili jina
Hahaha! Hatonipata kamwe huko Nyeri. Aje tu huku Olooyangalani na awe tayari kabisa kuitwa Mrs. Olemudimusirkon. :D:D
Kwa sasa Anaitwa miss mkimbizi2018
:D:D:D:D:D:D Mi nasubiri chakula ya kopo dadaab hawezi kubali
Ataenda kupikia murang’a:D:D:D
:D:D
Hahaha watakua washampachika lile jina lao la Kunguruu
Huku nimeskia kuna KUNGURU!