Hi,
Kibuti au kuachwa kunauma sana…yani hapa nilipo nipo mpweke hatare…wakaka wa Kenya…
tafadhali mmoja wenu anipokee anitulize…
Hi,
Kibuti au kuachwa kunauma sana…yani hapa nilipo nipo mpweke hatare…wakaka wa Kenya…
tafadhali mmoja wenu anipokee anitulize…
Ndio nipo kwa ajili yako, pitiza chumbani moja kwa moja
Nipo kwa mlango…mbona kama upo na bibi ingine
Karibu 254 mrembo, tutakusahaulisha aliyekupiga kibuti
Mpenzi wangu hujambo?
Asa
Asante…maneno tu nimefarijika
Kila kheri mkuu
Wanawake wa tz bana
Mkuu umewahi siti.
Yajayo yanafurahisha.
Umekuwa lini mkenya we mzee
:D:D:D Hataki kuachwa mpweke jamani…
Sio Bibi mingine huyo ni Nyanya Rukia
hahhahaha
duuuuu aise.
Ha ha ha ha mzee na lugha imebadilika?
Kuna wakati tulisafiri TZ kikazi na mshikaji wangu ambaye ameoa. Tukiwa kule akawa anasema amemwacha bibi yake mpweke anaogopa asimpate jirani anampa ‘huduma’, watu wanabaki wamemshangaa… Tulivyoelewa tofauti ya maana ya bibi Kenya na TZ, nilimcheka sana jamaa
Ha ha ha ha Kenya ukisema Bibi anamaanisha Mke ila ukisema Nyanya ndio grand maa mwenyewe
Hahahaa. Lol.
Nimecheka kwa sauti Wallah. Usijali mwaya utapata.
Sababu huku ndio nyumbani kwao lazima mmoja aje ajitwalie.