wakati uhamisho wa WATUMISHI Serikali ,kutoka Dar to Dodoma ukielekea mwisho,naomba tupeane uzoefu wa athari zake hasa katika Mahusiano na Mapenzi1
Uzoefu wangu mdogo Wadada wengi (sample ya ofisi yangu na za jirani) wenye umri kati ya Miaka 30-45 Ambao wamewaacha waume zao Dar wanafuraha sana na wanakula bata Dodoma!
Huu uhamisho unaweza kuigharimu wizara ya afya kwenye manunuzi ya ARV’s
Wanaume wanaotoka dar kuja Dodoma ni malaya si kidogo
He! Mbona siku zote humu JF wanadharauliwa!..WANAUME WA DAR!
Kuna wanaotamani kuhama na familia zao wanashindwa kwa sababu ya hofu ya kuishi kwa kipato kimoja.
Kumbe wewe upo Dodoma, au na wewe ndiyo wale waliohamishiwa huko?..
Mkuu, hili ndilo ndilo jibu sahihi, ingawa ninaamini wengi hawalioni hadi wamulikiwe tochi.
Uhamisho wa watumishi wa serikali kuhamishiwa Dodoma pasipo wenza wao, umesababisha nimeshuhudia mengi tena yenye kuogofya. Zinaa mekua kama ndio chakula cha watu kila siku, mbaya zaidi nilishuhudia uchafu mkubwa ukifanywa hasa na watumishi ambao wamekua wakiwapokea ama ndio wenyeji wa wanao hamishiwa Dodoma.
Yaani kwakifupi hawakataani na zaidi wanajikula kwa kiwango cha spidi ya Bombadia
Wenyewe wanahalalisha na usemi: Maisha yenyewe mafupi haya.
Fullest
akili kumkukichwa…ukute wengine ndokwanzaaa kwa namna moja ama nyingine wanakubaliana
cc @Smart911
Kukaa mbali tabu sana unaibiwa hadi na sisimizi
akili kumkukichwa ukute wengine ndokwanzaaa kwa namna moja ama nyingine wanafurahia
cc @Smart911
noma sana
Bila shaka upo Dodoma, hao malaya umewaonaje
Majanga!!!
Ndio poa
Tutaongeza wagonjwa wapya wa Ukimwi na Hepatitis B,Asilimia kubwa ya wafanyakazi waliokuja dodoma ni vijana , Dodoma na Singida kwa sasa wanafaidi kipato cha wafanyakazi wa serikali kupitia zinaa.Time will tell ,more to come
Hahah!!
Na wewe umehamishiwa Dom?! Eeeh
Hadi uwaone ,ni lazima uwe participant Obzeva!