Salaam.
Tangu Jf kupigwa Bann pale home Tz na kuamua kuja kujihifadhi huku Kenya chini ya mwavuli wa Kenya talk wadau tumekuwa busy na majukwaa yetu ya Jf tuu…
Kenya talk ina mwajukwaa mengi tuu lakini sidhani kama tumewahi kufungua hata moja zaidi yaku browse direct to the JamiiForums nakuingia Habari na hoja mchanganyiko Mara Jamii intelijensi na mengine.
Kama utafiti wangu si wakweli hebu niambie wewe umewahi kufungua majukwaa mangapi ya Kenya talk tangu Uingie huku,? naamini utaanza Leo baada yakusoma Uzi huu.
Kweli hapa ni habari na hoja mchanganyiko
Mie hayo majukwaa yao hata siwaelewi nawaza hiki ni kiswahili au kijaluo sielewi maneno yao
Licha ya kutoelewa sheng, bado hakuna hoja constructive kama tulizozizoea jf! Yaan mtu anaandika uzi una sentesi moja au mbili kamaliza!
Huwa nafungua na kukoment jukwaa la kenya sports hata uzi nimeshaanzisha huko
Sema wewe ndio huingiagi mkuu.
Wabongo tunaingia sana kwenye majukwaa yao hasa ya udaku na mapenzi.
Mimi huwa napita pita huko, huwa nawaona dada zetu huko.
Drjacka92:
Salaam.
Tangu Jf kupigwa Bann pale home Tz na kuamua kuja kujihifadhi huku Kenya chini ya mwavuli wa Kenya talk wadau tumekuwa busy na majukwaa yetu ya Jf tuu…
Kenya talk ina mwajukwaa mengi tuu lakini sidhani kama tumewahi kufungua hata moja zaidi yaku browse direct to the JamiiForums nakuingia Habari na hoja mchanganyiko Mara Jamii intelijensi na mengine.
Kama utafiti wangu si wakweli hebu niambie wewe umewahi kufungua majukwaa mangapi ya Kenya talk tangu Uingie huku,? naamini utaanza Leo baada yakusoma Uzi huu.
labda wewe ndio uingii huko usiwasemee wengine Mimi huko naingia na nyuzi kama kawaida tuweka
Mwifwa
June 27, 2018, 7:51pm
9
Mtu anaandika
Colombia vs Japan.-hiki kichwa cha uzi
Halafu anaandika “mnasubiri mimi niandike”
Hapo uzi ushakamilika
Mwifwa
June 27, 2018, 7:55pm
10
Drjacka92:
Salaam.
Tangu Jf kupigwa Bann pale home Tz na kuamua kuja kujihifadhi huku Kenya chini ya mwavuli wa Kenya talk wadau tumekuwa busy na majukwaa yetu ya Jf tuu…
Kenya talk ina mwajukwaa mengi tuu lakini sidhani kama tumewahi kufungua hata moja zaidi yaku browse direct to the JamiiForums nakuingia Habari na hoja mchanganyiko Mara Jamii intelijensi na mengine.
Kama utafiti wangu si wakweli hebu niambie wewe umewahi kufungua majukwaa mangapi ya Kenya talk tangu Uingie huku,? naamini utaanza Leo baada yakusoma Uzi huu.
Mimi nimejiunga huku kabla Jiwe hajatusukumiza.
Majukwa yao nayatembelea sana na hadi sasa nina nyuzi kadhaa kwenye majukwaa yao
idawa1
June 27, 2018, 8:20pm
11
Mimi huwa napita tu kusoma comment zao za kiswahili mix na kiingereza basi zinanifurahisha sana
Sijawahi kwenda na wala sifikirii kwenda
Mkimbizi mtata
Sex And Relationship
Ili Jukwaa Lao Nipo Available Daily
natembelea majukwaa machache sana ya wakenya
Demii
June 28, 2018, 5:25am
15
Ni kweli. Tatizo kilugha chao
m ndo kwanza nimejiunga hii asubuh hata ku comment siwez
Davet
June 28, 2018, 5:47am
17
Kumbe KT ina majukwaa yake mengine tofauti na haya yetu?
Nilikua sijui mimi
Mwifwa
June 28, 2018, 5:51am
18
Aisee
Hujui kama hii sub forum yetu imetengenezwa baada ya sisi kuzimiwa JF yetu home, wadau walipokuja huku ndio wakaomba kutengenezewa sub forum maana ilikuwa ni vigumu kujadili na wakenya kwa kiswahili chao tata
Davet
June 28, 2018, 5:58am
19
Hahah!! Bora imekua hivi mana jamaa wanajifanya wajuaji sana pia wana matusi mno tusingewezana
Mwifwa
June 28, 2018, 6:01am
20
Ndicho kilichotufanya tuombe sebule yetu pembeni