Hatimae niko huru,jf imekua sehemu ya maisha yangu kitendo cha mpuuzi mmoja (jiwe).kutaka kuwafanya watanzia wotee wamtukuze kinadharirisha inchi yetu.
Jiwe ukae ukitambua mileleee
Hatimae niko huru,jf imekua sehemu ya maisha yangu kitendo cha mpuuzi mmoja (jiwe).kutaka kuwafanya watanzia wotee wamtukuze kinadharirisha inchi yetu.
Jiwe ukae ukitambua mileleee
Jiwe lisilo la pembeni.haliwezi kuwa jiwe kuu
naona macho kodo hahahaah
Hawezi kupambana na teknolojia
Teheteheee
Jiwe haliskii! Jiwe halina Uhai!
Daah hiki kifungo kitaishi lini aisee.