Nishafika theatre of dreams nangoja kick off in the less half an hour, honestly I am watching this game with a very open mind. Obviously plastic fans wa Chelsea, Man-City and Leicester wako nyuma ya Man-u.
we are beating manure
Sisi kama Juventus twangoja game ya Inter Milan. Tuko hapa for the love of football.
link ya live game
http://www.navixsport.com/sport.php?id=1744
Mimi Sina stima since morning, Hiyo game naionea tu kwa livescores
ass n all will win
https://pbs.twimg.com/media/CcQDNEyUkAAFRtH.jpg:small
Enda onea game kwa bar like a normal man!
Watu wa KoDi endeni NJM sports
wacha tukamua awa majamaa
last 8 arsenal visits to OT, won 0 drawn 2 lost 6.
Lakini leo nimecheki lineups and if arsenal doesnt kamua this makeshift man u team… ata league wasahau
Hata kwa Loco hakuna power
Waah, local haina standby generator must be some dingy Geg joint.
Leo Man U mpaka walale. Not trained after beating that silly Danish team and a makeshift defence. Carrick of all players in defence.
Van Woman has lost it ata kama kuna injuries.
[ATTACH=full]32452[/ATTACH]
welbeck ana fujo leo:D:D
Arsenal wanajipeana. Hio karibu iwe pena
Rashford ni meffi
hadi carrick ni defender:D:D
Good news gunners Swansea wamefunga Tottenham
Na watch game ya Arsenal kwa comp and ya tottenham nachekia kwa phone
Kiboko ya Ass ‘n’ hole siku zote ni shetani mwekendu!