Tukutane hapa WAZEE wa THE GUNNERS! Team the gooners!
Once a Gooner, Always a Gooner!
Arsenal wataanza msimu wakiwa na meneja mpya Unai Emery aliyemrithi Arsene Wenger, Mfaransa aliyeondoka klabu hiyo baada ya kuwa kwenye usukani kwa miaka 22.
Tunaanza na Man City, August 11!