Ni mambo ya ajabu kabisa.
Kutoka kuitwa expert member(mwanachama mtukuka in genta voice)mpaka kuitwa mzee mwanakijiji aiseeee
Dear vpn msipandishe gharama zenu ili JF ikirudi kwa mlango wa pili nipate kurudi home sweet home kwa raha mustarehe.
Ni mambo ya ajabu kabisa.
Kutoka kuitwa expert member(mwanachama mtukuka in genta voice)mpaka kuitwa mzee mwanakijiji aiseeee
Dear vpn msipandishe gharama zenu ili JF ikirudi kwa mlango wa pili nipate kurudi home sweet home kwa raha mustarehe.
Unafurahia au unasikitika?
Cc: @Mahondaw
A na B yote sawa mkuu
Hahah!!
Adi lithread jamani
Mwee mweee ina senga’s voice
Kujipongeza muhimu
Hahah! Hongera sana
Hahaha asante sana
Mimi nasema!!!tutaerewana tu! In Dr shika voice
Mrejesho pleassssss maisha ya u-elder yanaendeleaje?
Yapo vizuri kama messi na penalt hahahah
Hahaaa!
Umeshakuwa senior…
Yeah kwenye kijiji cha ujamaa…
Cc: @Mahondaw
Hahaa…! Msalimie mdogo wangu @Mahondaw
bravoo
Tena ingependeza uitwe kuku kamba mguun dadadekiiii
Hahahaha
Asante sana kakalake nimezipata… naona tunahamia tu nchi za watu tehteh
Unapiga kelele ugenini… angalia utapewa jembe ukalime.
Kalibu mwana kijiji