i came across this and didnt know what to take of it. [ATTACH=full]36319[/ATTACH]
anyway,habari ya asubuhi?
gd morning, still no rain here, oh how i miss it
Good morning…I like the combat camel:D…hope si ya Al-Shabaab
blessed day to all
morning. preparing for work
Morning.
Morning too
Morning.
Hio ni ngamia ya wapi?
Transiting from Usiku sacco to Alfajiri sacco.
Good morning goods people.
@Meria Mata across the creek kumenyesha for about 15 mins at around 5am
15 minutes only, si joho arudishe zile Chuma, ion French MPs have passed law that makes it illegal to pay for sex and imposes fines of up to €3,750 (£3,027, $4,274) those buying sexual acts
Boto shop
Morning villagers. Night runners put on track suits
Ngamia ya ngween!!! Morning everyone. Nilikuwa nimeamka kama kawaida asubuhi nikaskia nimelemewa. Nimerudi kwa bed nikiwa nimevaa kila kitu plus viatu. Hebu nipeeni excuse ya kulenga job leo. Sioni nikitoka kitanda for the next three hrs.
Funny how those selling sex will not be treated as offenders.
Morning, and the giver of life has Woken Me up yet again
:D:D:D:D
present enjoying breakfast hapa kwa Kibandanski
asubuhi njema. hiyo ni desert camo…
Washa ni lale lakini elders kama uko na account chase bank umecheswa,hakuna kutoa pesa kutoka leo,okiya kuja hapa,good day talkers.
Ndani ya ofisi.
Morning ndio kurauka. Its cold here.