slim5
21
Ngoja siku nikikutia mkononi ntajionea!
mwanamke akiwa na shida ya wenzie yote wanayomfanyia huona anaonewa ila ngoja azipate raha sasa anashau kila kitu hapo ni mwendo wa kurevenge tu
Ukijaribu kumwelewa mwanamke, utamaliza umri wako wa duniani na hutokuja kumjua walau thumni. Kikubwa ni wewe kuwaacha na yao, ndiyo asili yao.
Ukijifanya unawashangaa, utapoteza muda wako bure
Marahabaa! au kuna kitu wataka kuninyima binti weye?
Shunie
31
Cha kukupa sina mm ndio mana nimekupa shikamoo
Swadakta! Kweli huna cha kumpa babuyo?