Mwifwa
June 12, 2018, 4:28pm
1
Napenda nitoe pongezi za dhat kwa uongozi wa Kenyatalk kwa kutukaribisha sisi wana JF kwa moyo wa dhati kabisa, mumeonesha uungwana sana.
Kwa sasa naona metuwekea majukwaa yetu pendwa ya JF ndani ya Kenyatalk, ambapo naweza kuiita JF ndani ya Kenyatalk.
Huo ndio upendo wa dhati kwa jirani yako katika kipindi cha shida na raha, tupendane na tushirikiane ipasavyo wote Wakenya na Watanzania katika hii Forum ili tuweze kuelimisha, kupashana habari mbalimbali katika nchi zetu na kidunia kwa ujumla.
Ahsanteni sana.
Mwifwa:
Napenda nitoe pongezi za dhat kwa uongozi wa Kenyatalk kwa kutukaribisha sisi wana JF kwa moyo wa dhati kabisa, mumeonesha uungwana sana.
Kwa sasa naona metuwekea majukwaa yetu pendwa ya JF ndani ya Kenyatalk, ambapo naweza kuiita JF ndani ya Kenyatalk.
Huo ndio upendo wa dhati kwa jirani yako katika kipindi cha shida na raha, tupendane na tushirikiane ipasavyo wote Wakenya na Watanzania katika hii Forum ili tuweze kuelimisha, kupashana habari mbalimbali katika nchi zetu na kidunia kwa ujumla.
Ahsanteni sana.
Nimefurahi sana kuikuta Jf huku. Asanteni sana jirani zetu wa Kenya kwa moyo huo
gikuyu
June 12, 2018, 4:57pm
3
Mwifwa:
Napenda nitoe pongezi za dhat kwa uongozi wa Kenyatalk kwa kutukaribisha sisi wana JF kwa moyo wa dhati kabisa, mumeonesha uungwana sana.
Kwa sasa naona metuwekea majukwaa yetu pendwa ya JF ndani ya Kenyatalk, ambapo naweza kuiita JF ndani ya Kenyatalk.
Huo ndio upendo wa dhati kwa jirani yako katika kipindi cha shida na raha, tupendane na tushirikiane ipasavyo wote Wakenya na Watanzania katika hii Forum ili tuweze kuelimisha, kupashana habari mbalimbali katika nchi zetu na kidunia kwa ujumla.
Ahsanteni sana.
Vipi?kuna jamii forums kwa twitter?
Mwifwa
June 12, 2018, 4:59pm
4
Hapana mkuu
Walikuwa na page tu kama zilivyopage/account zingine za mtu mmoja mmoja
Asanten wakenya kidogo nimeshusha pumzi
Serikali ya tz imefanya jambo la kishenzi sana.
gikuyu
June 12, 2018, 5:29pm
7
Nime fanya utafiti nime pata handle yao twitter [ATTACH=full]175465[/ATTACH]
Karibu,vipi hii ndo id yako kule au?
Mwifwa
June 12, 2018, 5:37pm
9
Hiyo ndio page yao kama nilivyokueleza, hata mimi nimewafollow.
Kuna page zao zingine za FB na Instagram pia
Mwifwa:
Wamezingua sana aisee
Sijui na huku watafuata wafute hii forum? Ningefurahi kama members wengi wa Jf wangekuja huku kupunguza hasira zaoza kufungiwa tikajadili mustakabali wa sheria hii kandamizi
Mwifwa
June 12, 2018, 6:27pm
12
Huku hawawezi kuja maana ipo nchi nyingine
Ningefurahi kama members wengi wa Jf wangekuja huku kupunguza hasira zaoza kufungiwa tikajadili mustakabali wa sheria hii kandamizi
Mimi wale nilionao mawasiliano nao nawaalika waje wajiunge huku na wao watawaalika wengine hatimaye tutajaa kama ilivyokuwa JF
[/QUOTE]
Kushindana na teknolojia ni ushamba wa hali ya juu Haya sasa tupo Jurisdiction nyingine Mambo yanaendelea.
Mwifwa
June 12, 2018, 6:44pm
14
Ngoja tumuachie nchi yake ila makombora kama kawaida tutarusha kutoka huku huku
[FONT=tahoma]Mada moto moto tunazisubiri waalikeni wadau walioko fb waje humu jamani hima[/FONT]
[FONT=tahoma]Sema modes wa humu naona kama hawako faster wadau.[/FONT]
Mwifwa
June 12, 2018, 7:06pm
17
Tuwaalike wale waliokuwa JF, kama unamawasiliano nao hata mmoja unamualika na yeye ataalika mwingine, kwa mtindo huo tutajikuta tumealika wengi
asante mungu na pia asanteni ndugu zetu wa kenya kutupa hifadhi ,walaaniwe wote walioifunguia jf ya tz ,kesho natoa vipeperushi chuo kizima na kwenye magroup yote ya whatsapp kuwaambia watu kua jf inapatikana hapa
Mwifwa
June 12, 2018, 7:33pm
19
Itakuwa jambo jema sana mkuu
Sijuti
June 12, 2018, 7:36pm
20
[/QUOTE]
Tangujana nimealika wengi pia, watajua tuu nadhani ndani ya wiki 1 wake zangu Inna, Demiss, Mbitiyaza Miss Natafuta, Miss chaga nk watakuwepo hapa