ile tuliambiwa kaa hatuli majani tusiende, @Web Dev has surfaced in Ndumberi saa hii. @Carbon kama uko karibu jamaa anadai fare ya kurudi jiji, msaidie tafasari
http://www.kenyatalk.com/index.php?threads/kesho-nina-bash-kama-hutumii-kaa-kando.9845/
[ATTACH=full]16442[/ATTACH]
:D:D:D:D:D
mimi sina kakitu mfuko lakini niko na map ya shortcuts zote za jiji
hehehehe, achana naye basi, akipatana na Atwoli shauli yake basi, Leo @Mkufuu hayuko karura naangempa ride kwa bike
Mara ya mwisho kuonekana alikua amevaa shati nyeupe.
map ya shortcuts za jiji weka kwa ngugu wanaeza kupea job
Busaa + Majani
Mpe hiyo… huyu atafika bila shaka!
He he, hizo macho lazima alipitia Gichororo.
[ATTACH=full]16445[/ATTACH]
Hata pia mimi nimesota sijui niweke pay bill no muni sort?
Ana urefu futi tano na inchi nane
[ATTACH=full]16452[/ATTACH]
hahaha,he is lost for good
Ire,iire. man like Web dev popopopo.
Thank God sikuenda iyo bash hiyo bash. ODM would have been less 1 influential vote
:D:D
Ananukia Creed huyu kweli ama ananuka matumbo ya ng’ombe?
huyo ata advert ya sabuni inaeza mkataa
ana bahati hakupitia king’eero where they cut you when they find nothing on you; kwa kuwafanyisha kazi mbaya…