Eti affordable housing mtu analipa mdogo mdogo for 25 years. Imagine paying 3,900 every month to finally own a bedsitter on The 6th floor after 25 years. Is that not slavery?
Imagine being stuck in a bedistter for 25 years
Eti affordable housing mtu analipa mdogo mdogo for 25 years. Imagine paying 3,900 every month to finally own a bedsitter on The 6th floor after 25 years. Is that not slavery?
Imagine being stuck in a bedistter for 25 years
Plan advised by Meffi ndii who is paid 1M per month. Bladifakin
Si unaeza toka na ukodishe lakini!
Hizo ni ma slums tu.. visanga za daily, wizi wa nguo kwa line, umalaya.. sioni tofauti na pipeline.
Idea ni poa but sio kwa nyani.. wakenya wanaishi maisha ya chini hawajui order, watazichafua, wataiba hadi pavement… wataiba hadi streetlights.. wataharibu kabsaa. vitu zingine nza watu wakona degree
mnatakanga nini saa zingine? i was skeptical that Ruto would even manage to build even one flat but he has proved me wrong. Si ati i like KK policies but give the devil his due. if these were to replace the eyesores and embarrassment that are Nairobi slums, then kudos I approve. Hata wageni watawaheshimu
Wrong. They were built by Uhuru. Mwizi alipaka rangi tu
Sio zote wewe. kuna affordable housing projects going on in almost each county as we speak . Unaregister, lipa deposit ya 600k and rent it out. Wewe kama hutaki kujinyakulia shauri yako.
Welcome to Boma Yangu
The Boma Yangu platform is the gateway into the Affordable Housing Program. Start your journey towards home ownership. Fulfil your dreams by letting us help you achieve your home ownership goals.
Register
Log in
We have made it simpler. You can now access Boma Yangu using your eCitizen account
ecitizen logo
slider image
slider image
slider image
slider image
slider image
slider image
slider image
Welcome to Boma Yangu
The Boma Yangu platform is the gateway into the Affordable Housing Program. Start your journey towards home ownership. Fulfil your dreams by letting us help you achieve your home ownership goals.
Register
Log in
We have made it simpler. You can now access Boma Yangu using your eCitizen account
ecitizen logo
slider image
slider image
slider image
slider image
slider image
slider image
slider image
It looks like prison blocks za majuu. Then you will hear mtu amefungua church 3rd floor and ameweka horn speaker kwa balcony ndio watu wapate injili by force by fire.
Ata sio hio pekee when you are in the slums there are supporting businesses hapa utaweka biashara wapi na si ati umeajiriwa?
Good idea but ni biashara ya kufaidisha kasongo na investors
Ushajinyakulia kaka…? Naweza jinyakulia na ninyakulia mtu mwingine bado but atumie ID yake
Wakimaliza kutoa watu wote kwa slums wabomoe hizo shanties watuuzie hiyo land
It’s optional.
Many slum dwellers prefer to stay away from inhumane environment prone to floods and air/water borne diseases, leaking polythene houses without power, without water, without gas, without toilets. Remember, their kids and grandkids will still own the units after their parents kick the basket.