Hello wadau.
So I have this nephew who just graduated in 2019 Bachelor of Education,science.And when things were at ease,he secure one in an extra county school huko mashambani.
Come this year,after Tsc adverts,aliapply lakini hakubahatika. Ni mwalimu wa Physics and Chemistry,where his previous station alikuwa analipwa 14000.
So kazi imeonekana Nairobi where malipo itakuwa 20,000 in a county school.Now that is where the dilemma comes.Ameshindws aende ama azoee ya mashambani. Being that salary itakuwa imeongezeka by 6k lakini maisha ya Jiji,anaona na kuambiwa eti that money is just too little.
Wadau,Mimi nimeshindwa how I’ll advise him.But before I tell him my piece of mind, can I get your opinion
let him try and bargain his standing at the current school, aone kama ataongezewa. He can easily say that he has gotten another offer that he is considering
Akae ocha akigain experience akiendelea ku apply for like 2 more years…let him review the situation kila mwaka hes still young times on his side na achukue hiyo extra 2 k halafu anaweza anza ku coach students kiasi…huku ocha surveilance iko down. Good luck to him.
Though one thing with his combination,ni hawezi Kaa hizo 2 years kugain experience.Actually he has the needed experience juu since 2017 he had been teaching tu graduation mambo ya fee ndio ilimpiga noma.
20k tao is little money if he intends on staying alone, maybe atafute msee they cost share on house expenses his advantage is that teaches have alot of free time jijini he can start a side hustle to top up on his salary
wachana na yeye ni mtu mzima-advice is what people ask for when they already know what they are supposed to do but they wish they didn’t know.
subuliwa na mambo zako ama umuadvice alafu akulaumu later