[ATTACH=full]176669[/ATTACH]
Kichwa lazim kiume maana alijua tayari kashamaliza kazi kwa kuifungia JF
We are on the right track
Hawezi shindana na teknolojia
Hahaaa
Duuuh
piga dili weweeeee
aisee
ni mwendo wa dili tu
Yaani malaika lazima kisukari na pressure zimchanganye
Ati nasikia wameamia Kenya?
Fungieni na kule.
Haiwezekani mzee.
nasema fungieni
kIPANyA
Kazi kweli kweli!
Mwisho wa siku utasikia mtu flani mwenye cheo flani wa TCRA katumbuliwa
Atapangiwa majukumu mengine.
:D:D:D:D:D