Accident Alert

Kuna gari nimepita hapo karibu na Standard Group Msa Road, and it’s like the car is written off. It was either Allion or Axio. Model haitambuliki.

Watu wa mbisha msijali, it’s around 1 am na pia kulikuwa na polisi around. An ambulance has ferried the driver akiwa hali maututi.

Don’t drink and drive.

Pole

kaaa na hizo picha

1 a.m. in the morning you are on the road.

You must be traumatized.

One less idiot on planet earth kama ni pombr and he dies

Iko mwingine last week kilimani alipita na mataa ya kidero kwa round about.

There is a 100 million club which is almost complete in that area. Unfortunately this will be a normal occurrence once it opens.

Seconded.

Lakini were you designated driver? And if you were, were you posting on KT while driving?

If you were not designated driver, how came it be that you were sober enough at 1 something am to post on KT?

akakwambia alikuwa anatoka kuona mtu wake diaspora bado utaendelea na maswali?

Ajibu. Kwani diaspora hakumsponsor hata ka-Black Label? Kama ni hivo I am ready to replace