Ukiwa na 30K unachezea ligi ya MPs.. ati unaulizwa how much do you earn.. @ndovu hapa unaeza sema 800k mkenya ashtuke.
“Kumbe hii jamaa inalipwa pesa nyingi namna hii” anaweza waza sana.
Alafu anachukua calculator anapata ni 26k pesa taslimu ya kenya.
https://x.com/Goddie_Ke/status/1990047823950434754?t=qckgPYKR8mXLKqn83IXb8g&s=19