43 days and counting

Pink Handles na Masculine pinkies saidieni.

The wife is 43 days late on her periods. Hapa Niko stress mode. The Hosi refused to give her the IUD saying lazma afanye pregnancy test. That was months back, (but stick lazima). She was advised asitumie injections (whatever that is) ati maziwa itapotea l, instead she opted for pills

[ATTACH=full]179093[/ATTACH]

…We have a 5 month nigglet.
Should I start preparing for nigglet number 2?

[ATTACH=full]179096[/ATTACH]

mtaonekana wajinga sana lakini pongezi…

Fwack…hamuwes sahau hehe…yes I see I have a foot fetish Hadi my handsome feet

:D. Hizo feet ziko funny sana pamoja na hizo vitu umevalia.Sijui zinaitwa aje.

Fafanua tutaonekana waking kivipi n thru whose eyes, hehe…me ni mwenye bidii siwes shindwa kulea…

Crocs

kama mtoto hajamaliza six months za exclusive breastfeeding si atakuwa stunted kwa kukosa TLC?

The mistake men make is to plan this s.hit without consulting the Mrs. Talk to your wife nanii.

Buda …:D:D:D:D … umenimalisa. Tumie home p-test kit bro.

Congratulations on your new pregnancy!!!

Ongea English Bana… What is TLC? The fella is being breast fed and is burning through infant formula like hell… 2 tins (each at [SIZE=2]KES[/SIZE].1750) in less than 2 weeks…[SIZE=3](maziwa ya the wife haitoshi)[/SIZE]

What Plans… all I know is the Pads I bought hazipunguki, na she says she doesn’t ‘feel’ pregnant… butI wish to know nijue if I am Buying an apartment or saving for Nigglet 2… hataki kufanya PTest…she insits if she is expectantatajua…sipendi ambushes…

Salesman wa Gari… how do you know this :meffi:

mtoto hukuja na sahani yake

Very true…This first one came along and I’ve never seen brokeness though expenses stand at [SIZE=3]KES.[/SIZE]7800 a week!!..its like I am leaking

yaani ngombe hii huwa unanunulia bibi knickers mpaka pads?om shanti shanti

@Purple

Tender loving care

:eek:

mpee mix ya ketepa na aloe vera akunie hio ball by kesho…pamoja na womb