HABARI ZA HAPA. TUNAVUKA BODA KUWAPA BURUDANI MWANZO MWISHO NA 24HRS SWAHILI STAR MOVIES.
INGIA HAPA KU-SUBSCRIBE KWA MOVIE MPYA KILA SIKU
BOFYA HAPA-https://www.youtube.com/channel/UCplzDTuDKHUSE0eb3Th59ow
HABARI ZA HAPA. TUNAVUKA BODA KUWAPA BURUDANI MWANZO MWISHO NA 24HRS SWAHILI STAR MOVIES.
INGIA HAPA KU-SUBSCRIBE KWA MOVIE MPYA KILA SIKU
BOFYA HAPA-https://www.youtube.com/channel/UCplzDTuDKHUSE0eb3Th59ow
WATAPATA TABU SANA-FULL KICHEKO-VICHEKESHO MOVIES
bando ndo shida
Umeona eh! Inawezekana yeye anatumia bando la ofisi…
Siwezi kuchoma Mb zangu kwa ajili ya Bongo movies
hivi bongo movie huwa mnafuata scripts za mwandishi au huwa mnajiropokea tu…maana unaweza ona kabisa hiki kipengele cha watu kutabasamu lkn unakuta mtu analia
jaribuni kufuata procedure…wenzenu industry zilizoendelea huwa anapewa scripts kabisa anatakiwa aongee maneno gani,avaaje,atembeaje,akishindwa anaondolewa kwenye move sasa nyie unakuta mpo mnafunga ndoa kanisani waliohudhuria wamevaa pensi anzeni kwanza kupenda mnachofanya then you can deliver your future