Wakuu hivi haya majina yatatangazwa lini nina mdogo wangu alipata div 2 yupo kijijini aelewi kama wameshatoa au bado.
UPDATE:
Wakuu hivi haya majina yatatangazwa lini nina mdogo wangu alipata div 2 yupo kijijini aelewi kama wameshatoa au bado.
UPDATE:
Subira yavuta heri,yatatoka tu mkuu…
Yakitoka utasikia tu, hata ukiwa ushago…
m mdg wangu nimemshaur aende clinical officer, kama hataki aje anisaidie kaz yangu ya kuchmb makaburi
mmmh! duh!
Vuta subira mambo yatakuwa shwari tuu.
kama sio kesho jumatatu ijayo au jumatano mkuu
Majina yametoka leo wakuu.
Fanyeni kuyachek huko tamisemi
Ndio yametoka ila sasa kazi mno kuyapata
Kuna link ya tamisemi yaonyesha matokeo yapo lakini web haifunguki…
Yametoka leo ila kufungua ni ishu
kwangu nayapata easy tu
nitumie link mkuu napata shida kuyapata
Angalia post #1
ASANTE MKUU NIMEYAONA
MKUU lakini bado link inasumbua sana kufungua
Mwenye fresh link atuwekee jamani
Link ni ile iliyowekwa.
Asante mkuu,nimefanikiwa kuyaona yote,shukrani
Shule nzuri ya form five kwa wavulana private nisaidie kwa masomo ya science …PCB, PCM, EGM, etc