Mods shkamooni, poleni na majukumu.
Napenda kucheka, kwa maandishi nacheka kwa emoji ila hii emoji ya kicheko imekaa kibabe mno mi kama mwanamke napata tabu sana kucheka kibabe hivi, NAOMBA MBADILISHE KAMA IPO NDANI YA UWEZO WENU
:D:D:D:D hebu ona hilo cheko ni kama nacheka kihutu!!!
Shunie:
Hahahaha mm siipendi
Hata mie sikapendi ila basi tu waweke vile vya whatsapp…
Japo tumepewa lift tunaanza kupiga na honi
CC @The Tweet
Shunie
June 22, 2018, 10:01am
7
Hahahah kwakweli watuwekee za WhatsApp wakimaliza wasisahau kutuwekea app @The Tweet
Mods shkamooni, poleni na majukumu.
Napenda kucheka, kwa maandishi nacheka kwa emoji ila hii emoji ya kicheko imekaa kibabe mno mi kama mwanamke napata tabu sana kucheka kibabe hivi, NAOMBA MBADILISHE KAMA IPO NDANI YA UWEZO WENU
:D:D:D:D hebu ona hilo cheko ni kama nacheka kihutu!!!
Wakenya labda ndio hucheka hivyo,.
Kwanza mtu gani wakijani?.
:D:D:D:D:Dnacheka kikenya
Taratibu tumepewa lift ujue
Tusije tukashushwa, mana tumeanza kuwa wajuaji kuliko wenyeji. :D:D Tuendelee kucheka Kikenya
Mwifwa
June 23, 2018, 12:35am
14
:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D
Uje na huku nimevurugwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kama nakuona ulivomiss link
hahaha hi emoj inameno marefu sana
slim5
June 23, 2018, 4:31pm
20
Mods shkamooni, poleni na majukumu.
Napenda kucheka, kwa maandishi nacheka kwa emoji ila hii emoji ya kicheko imekaa kibabe mno mi kama mwanamke napata tabu sana kucheka kibabe hivi, NAOMBA MBADILISHE KAMA IPO NDANI YA UWEZO WENU
:D:D:D:D hebu ona hilo cheko ni kama nacheka kihutu!!!
Cheko la CHAMA CHA MAFAHARI