Kwanza niwashaur msibeti wakuu, timu za kuamin n za africa na saudia tu.
Mara nying marafk na ndugu wamekua wakinishangaa sana, ni mtu ambaye sijawah kujali ulaji mzuri, najua hili ni tatzo na nimejarb kulitatua nimeshndwa kbsa, No wonder sijawah kunenepa. Sisemi kwamb nakula chakula kibaya la hasha , nakula chakula cha kawaida kama watanzania weng wenye maisha ya kawaida tunavyokula. Baadh yetu kama si weng wanapenda kula chakula chenye hadhi flan maalum anachoona n kizuri kwake eidha mda wote au pale anapohs anahtaji kufanya hvyo(mara nying inakuaga kwa mtoko maalum/out).
Aisee ktk hilo kund mimi sipo, sikumbuki mara ya mwisho kwenda out kwa ajili ya kula chakula kzr n lini, hela yangu inaishia kweny nguo, viatu na vitu kama simu nzuri, kununua zara boot ya 130k au simu ya 1M huku najua kbsa sina hela ya kula kwang n kama kumsukuma mlev kweny mtaro, cha kushangaza sijawah kujutia hili ila najua kbsa si kitu kizuri, wakat nipo chuo nakumbuka nilishawah kutumia karibia boom lote siku moja 640k huku nikiwa najua kbsa sina hela ya kunichomoa semister nzima sina na najua home n kawaida tu, hata nikiomb hela napata ya kawaida ya cku ngap tu. Sijawah kubadrika, napiga kaz nzito ambazo naamin kbsa napaswa mwisho wa wiki nikisha wekeza kias kwa ajili ya mambo ya msing basi kinachobak hata nijitoe out angalau kujipumzisha, ila sijawah fanya hvyo inayobak yote n wendo wa nguo na viatu n.k.
hii sasa inaleta mitazamo tofaut kwa watu wanaonizunguka, kuna wanaoniambia najipenda sana na kuna wanaoniambia sijipend kbsa mpk wanashangaa, na mimi mwenyewe kwa kweli sijijui japo nahc sipo kote kote. Nahtaj kubadilika na hua napanga kbsa ila nikipata pesa nasahau mipango yote, kwa anayeweza kunishaur au kunipa angalau njia ya kutokea, mwisho je wewe upo upande upi? Au kote kote?
Wewe kama mimi tu, sikumukagi kula, naweza shindia chapati na hela niko nayo but kwenye masuala za mikato sitaki utani, nikipata hela tu utanikuta shop nachukukua viwalo. I’m fashion addict
file halikubali ku attach humu nimejarb nimeshndwa, wewe jarb ku attach ukiweza niambie nitume, hata ukitaka nikuwekee kwenye avatar kwa mda naweza mkuu we sema nitakuwekea, mwisho kama unasema hvy kwa kua huamin, mzee silazmish uniamin mana hata nikikuaminisha hunilipi.
Kujipenda ni zaidi ya kula na kuvaa vizuri ni wholestic behavior stance ya mtu. Kuanzia kuamua kujipanga kuwa na maisha mazuri kwa mtizamo chanya akitoa kipaumbele kwenye mahitaji muhimu ya maisha yake. Mtu yeyote anayejipenda ana maamuzi asilimia 99% yanayotoka within na kuwa shaped na mazingira asilia na 1% ni influence ya marafikii