Kuja Quivers lounge ntanunua mzinga na mbuzi choma. Pesa otas! Tafuta jamaa amevaa hivi ni kofia ya gray
[ATTACH=full]472169[/ATTACH]
Kuja Quivers lounge ntanunua mzinga na mbuzi choma. Pesa otas! Tafuta jamaa amevaa hivi ni kofia ya gray
[ATTACH=full]472169[/ATTACH]
Mchele gang tactics zinakomaa…
Watu wa ocha ndiyo huita hiyo club quivers ghaseer takataka. @Azor Ahai ndiyo MTU wa kununuliwa pombe
Quiver ni zoo.
hii ni jerateng
Umejimwagia njoti kwa trousers?
It’s pee. He’s telling strangers online that he’s drunk, has money and is ready to eat rice
Inakaa ulishindwa kulipa bill ukaambiwa uoshe vyombo nd now unainvite elders ndio MTU akikuja udai mlikuwa na yeye:D
Elders nilikua car wash wacheni porojo
Quivers hq ya mchele Thika road.
Unataka kuua nani round hii. We know you are a murderer
Serial Killer
Headmaster ulitoa wapi pesa ya kununulia strangers pombe
Mwalimu umeamua baada ya ku-con wazazi na kutoroka na fees, sasa untaka chunisha elders sukuma.
@administrator, @Electronics @Mundu mulosi why would you tolerate accusations and insults to a celebrated and venerated teacher who worked hard and is now enjoying the fruits of his labor and boosting the economy of Nairobi? Kindly warn the above members to be mindful of what they say in private or in public regarding me. Thanks